Aziz Andambwile amjibu Awesu Awesu

Baada ya mchezaji mpya wa timu ya Simba SC Awesu Awesu kuposti akiwa na gari lake alilonunua kutokana na fedha za usajili alizopewa na Simba, nyota mwenzake Aziz Andambwile amemjibu kwa kuposti picha yake akiwa na gari lake.

Andambwile aliyesajiliwa na Yanga akitokea Singida Fountain Gate, ameposti picha akiwa kwenye gari lake ambalo amelipata baada ya kusajiliwa na Yanga
Aziz Andambwile


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI