Bodi ya Ligi yapangua ratiba Ligi Kuu bara

Bodi ya Ligi (TPLB) imepangus ratiba ya Ligi Kuu Tanzania bara kwa timu za Yanga, Simba na Azam na sasa imeweka mkeka mpya unaozihusu timu hizo kwenye ligi hiyo.

Mechi ya Simba na Yanga iko pale oale Oktoba 19 lakini mechi nyingine zimebadilika tofauti na ratiba ya mwanzo ilivyosema.

Na hii ndio ratiba kamili ikianza mabingwa watetezi Yanga na kufuatiwa na Wekundu wa Msimbazi, Simba SC.

Young Africans SC :

◉ Kagera vs Yanga - Aug 29
◉ Yanga vs Mashujaa - Sep 14
◉ Black Stars vs Yanga - Sep 20
◉ Ken gold vs Yanga - Sep 25
◉ Yanga vs KMC - Sep 29
◉ Yanga vs Pamba - Oct 3
◉ Simba vs Yanga - Oct 19

Simba Sports Club :

◉ Simba 3 - 0 Tabora - Aug 18
◉ Simba 4 - 0 Fountain Gate - Aug 25
◉ Azam vs Simba - Sept 14
◉ Simba vs Namungo - Sep 20
◉ Dodoma Jiji vs Simba - Sep 29
◉ Simba vs Coastal - Oct 4
◉ Simba vs Yanga - Oct 19

Azam Football club :

◉ JKT vs Azam - Aug 28
◉ Azam vs Simba - Sept 14
◉ Azam vs Coastal - Sep 20
◉ KMC  vs  Azam - Sep 26
◉ Mashujaa  vs  Azam - Sep 29
◉ Namungo  vs  Azam - Oct 3

◉ Prisons  vs  Azam - Oct 18

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI