Staa wa bongomuvi anunua gari la kifahari

Staa wa msanii wa vichekesho vya mtandaoni  Clam Cris amenunua gari kali la kifahari ambalo litamfanya awe miongoni  mwa mastaa Tanzania wanaotesa na magari mazuri na ya kuvutia.

Msanii huyo ambaye kwasasa unaweza kusema ndio nambari moja akimzidi mbali Mkojani, amenunua gari kali aina ya Range Rover ni baada tu ya kurejea nchini akitokea DR Congo

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI