JKT Tanzania yaibana mbavu Azam FC

Timu ya JKT Tanzania jioni ya leo imeilazimisha sare isiyo na magoli 0-0 Azam FC mchezo wa Ligi Kuu Tanzania bara katika uwanja wa Meja Isamuya jijini Dar es Salaam.

Huu ni mchezo wa kwanza kwa Azam FC ambao wametokea nchini Rwanda walikocheza na APR michuano ya Ligu ya mabingwa Afrika na kutupwa nje kwa kufungwa kwa jumla ya mabao 2-1


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI