Klabu ya Singida Black Stars imetangaza kuchagua kuutumia uwanja wa New Amaan-Zanzibar kwenye mechi zao za nyumbani kwenye mechi za hatua ya Makundi Kombe la Shirikisho Afrika 2025/26. Singida Black Stars imefuzu hatua ya Makundi ya michuano hiyo kwa mara ya kwanza, na sasa inasubiri droo ya kupanga makundi itakayofanyika Johannesburg, South Africa Jumatatu ijayo Novemba 03,2025
Kwa habari na matangazo tunapatikana Kariakoo jijini Dar es Salaam au piga +255 652 626627 au +255 755 522 216 barua pepe princehoza@gmail.com