HUWEZI kuamini kwamba jiji la Dar es Salaam limeanza mbali sana na lilikuwa katika mitizamo tofauti, vijana wa leo wanakwambia hakuna maendeleo yoyote yaliyopatikana ndani ya miaka 50 na kinachoonekana mbele yao ni sawa na kazi bure.
Kwa habari na matangazo tunapatikana Kariakoo jijini Dar es Salaam au piga +255 652 626627 au +255 755 522 216 barua pepe princehoza@gmail.com