Ruka hadi kwenye maudhui makuu

PICHA: MAN CITY WAKIFURAHIA UBINGWA WAO JANA

Champions of England: Manchester City have been crowned Premier League champions for the second time in three seasons after beating West Ham 2-0 at the Etihad Stadium
Captain fantastic: Vincent Kompany lifts the Premier League trophy in front of his ecstatic teammates
Jubilation: Vincent Kompany lifts the Premier League trophy to mark the end of a magnificent season for City
Happy chaps: Joleon Lescott, Vincent Kompany and Joe Hart pose for a selfie in the changing room
Master and commander: Captain Vincent Kompany and manager Manuel Pellegrini parade the trophy bedecked in blue ribbons again
Tickertape: Sergio Aguero lifts the trophy for the second time amid a rain of blue and white ribbons
Airborne: The players grab hold of Manuel Pellegrini to throw him in the air
 Mzee juu juu: Wachezaji wa Man City wakimbeba na kumrusha hewani Manuel Pellegrini
Airborne: The players grab hold of Manuel Pellegrini to throw him in the air
Cheer: Even Manuel Pellegrini managed a smile as he was carried around by his players
Proud moment: Pellegrini poses for photographers with a big grin on his face as he holds the trophy
Words of thanks: This City supporter showed his appreciation to Liverpool captain Steven Gerrard for slipping against Chelsea and allowing Demba Ba to score a vital goal
Invasion: Thousands of City fans stream on to the pitch at the Etihad Stadium after the full-time whistle
 Maelfu ya mashabiki wa Man City walivamia uwanja wa Etihad baada ya kipyenga cha mwisho 
Family man: Kompany holds the Premier League trophy as he poses for a photograph with his family
Smokin': Fans storm the pitch to mob their heroes after the title is secured on the final afternoon
What a day: Two City supporters celebrate on the pitch after the 2-0 win over West Ham
Thank you: These fans paid tribute to the club's Arab ownership for their investment
On the pitch! Supporters young and old enjoyed the jubilant title celebrations
Sign of the times: City fans hold up a banner celebrating their second title win in three years
 Shangwe tupu Etihad, ubingwa raha sana

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

Timu inaitwa Mashujaa Lake Tanganyika FC ( Mashujaa FC ) ilianza rasmi kampeni yake ya kupanda Ligi Kuu tarehe 29/9/2018 na imepanda Ligi Kuu 25/06/2023 miaka mitano ya kupambana kwenye Ligi Daraja la kwanza Championship. Timu hii inaendeshwa kwa ushirikiano wa pande mbili kati ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji kwa niaba ya Wananchi wa Kigoma. Muelewe hapa maana wengi wanasema ni timu ya Jeshi asilimia 100% Nembo ya timu ni Sokwe Dume, Shujaa wa Hifadhi za Gombe na Mahale zilizopo mkoani Kigoma. Rangi ya kwanza ya jezi ya timu (first kit) ni hiyo hapo chini na kwenye nembo ya timu ni rangi za tunda la michikichi (mawese ). Hii kama njano ni mawese yaliyoganda na huo wekundu ni mawese ya moto. Ukishika tunda la Mse juu utaona wekundu na ukikata katikati utaona njano. Nyeupe ni ‘nazi’ ya Mse hizi ni alama za utajiri wa Kigoma Jezi nyingine ni blue inayowakilisha Ziwa Tanganyika na Jezi nyingine ni Nyeupe

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

Na Prince Hoza AFISA Habari wa klabu ya Yanga SC Ally Shabani Kamwe alidiriki kuudanganya umma wa wapenzi wa soka hapa nchini kwamba hakuna timu yoyote hapa Tanzania kuwahi kuingia hatua ya nusu fainali ya vilabu Afrika. Kamwe alisema timu yake ya Yanga itakuwa timu ya kwanza nchini kuingia nusu fainali ya Afrika, Yanga ilikuwa inakaribia kabisa kutinga nusu fainali ya kombe la Shirikisho barani Afrika. Yanga ilianza vizuri ikiwa ugenini baada ya kuilaza mabao 2-0 timu ya Rivers United ya Nigeria, hivyo ilikuwa inasubiria mchezo wa marudiano uliofanyika uwanja wa kumbukumbu ya Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Kwa vyovyote Yanga walikuwa na uhakika wa kutinga nusu fainali kwani walihitaji sare yoyote ama ushindi wa aina yoyote. Hapo ndipo Afisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe aliamua kupiga vijembe kwa watani zake Simba SC na kuipotosha jamii kwa kudai kwamba Yanga itakuwa timu ya kwanza Tanzania kuingia nusu fainali ya Afrika. Kamwe ameifuta hadi rekodi ya Simba kuwa timu ya kwanza Tan...

Mabululu ni wa Simba SC

Simba wameweka donge nono kunasa saini ya mshambuliaji Agostinho Cristovan Paciencio Mabululu anayekipiga Al Tripoli ya Libya Ili ajiunge na Wekundu hao wa Msimhazi. Simba wamefanya mazungumzo ya moja kwa moja na wakala wa Mabululu na mchezaji mwenyewe na wako tayari kulipa kiasi cha juu zaidi kunasa saini ya mshambuliaji huyo hatari zaidi Simba wanahitaji kumalizana na mshambuliaji huyo badala ya kumaliza fainali ya kombe la Shirikisho, tayari Crecentius Magori yuko nyuma ya mpango huo kuhakikisha Simba ijayo inatisha. Mbali na Mabululu, Simba pia inahitaji Saini ya kiungo mshambuliaji wa Azam FC Feisal Salum "Feitoto" ambaye pia amewahi kuichezea Yanga SC