Golikipa wa Simba SC Ayoub Lakred amejiunga na FUS Rabat kwa mkataba wa miaka miwili. Kipa huyo kutoka Morocco aliagana na Simba, na tayari amerejea nyumbani kwao Morocco. Mkataba wake na FUS Rabat umesainiwa leo rasmi asubui
Kwa habari na matangazo tunapatikana Kariakoo jijini Dar es Salaam au piga +255 652 626627 au +255 755 522 216 barua pepe princehoza@gmail.com