Mabao mawili ya mshambuliaji wa Tanzania Kelvin John anayekipiga Aalborg ya Denmark yameifanya timu hiyo ifuzu hatua ya 16 Bora ya Kombe Denish Cup Sec Round. Kelvin amefunga mabao hayo katika ushindi wa mabao 6-1, huku mabao mengine yakipachikwa wavuni na Hellenius aliyefunga mabao mawili na Ross na Conilius waliofunga bao moja moja.
Kwa habari na matangazo tunapatikana Kariakoo jijini Dar es Salaam au piga +255 652 626627 au +255 755 522 216 barua pepe princehoza@gmail.com