Taarifa nilizozipata kutokea Mkoani Tanga ni kwamba mlinzi kitasa wa Coastal Union, Lameck Lawi ana mkataba wa miaka miwili na mabingwa hao wa zamani wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara. Kwa maana hiyo Azam FC na Simba SC zimeonyesha nia ya kumhitaji nyota huyo watalazimika kuvunja mkataba wa nyota huyo jambo ambalo Coastal Union wanajiandaa kuvuta mkwanja mrefu kwelikweli kama ilivyokuwa Kwa Bakari Nondo na Abdul Sopu.
Kwa habari na matangazo tunapatikana Kariakoo jijini Dar es Salaam au piga +255 652 626627 au +255 755 522 216 barua pepe princehoza@gmail.com