Ruka hadi kwenye maudhui makuu

TAKWIMU ZA JKT QUEENS BALAA


Kuna Namna Hawa Jkt Queens Wanatoa Alarm Ya Hatari Kwamba Ukikutana Nao Yeyote Anakudhuru Yeeees Mfano Wa Timu Nne Wafungaji Hatari Wenye Muendelezo Hadi Sasa ...

Jkt Queens

1. Stumai Abdallah 17 Goals
2. Winfrida Gerald 8 Goals
3. Donisia Minja 4 Goals
4. Amina Bilali 4 Goals
5. Jamila Rajab       4  Goals 
6. Aliya Fikiri                2  Goals
Jumla = 39

Hao Ndio Wafungaji Wa Jkt Queens Na Orodha Ya Magoli Waliyofunga Hadi Sasa Na Wote Bado Wanamuendelezo Mzuri Wa Kufunga ...
Na Hapa Bado Ukizubaa Hata Beki Anakufunga Kama Fatuma Makusanya Leo,Anastazia Katunzi,Janeth Pangamwene,Lidya Maximilian Hawa Wote Wana Goli Msimu Huu ...

Simba Queens 
1. Aisha Mnunka            13 Goals
2. Asha Djafari               8  Goals
3. Jentrix Shikangwa    4  Goals
4. Viviane Corazone     3  Goals
5. Joan Ainambambazi 2 Goals
Jumla = 30

Katika Orodha Hii Ya Simba Queens Wafunga Wenye Muendelezo Mzuri Ni Wawili Tu Aisha Mnunka Na Asha Djafari Tu Hao Wengine Wote Tia Maji Tia Maji ...

Yanga Princess 
1. Kaeda Wilson                3  Goals 
2. Precious Christopher  3  Goals
3. Janeth Bundi                2  Goals
4. Yemis Olluwa                2  Goals
5. Madina Traore              2  Goals
Jumla = 12

Hapo Kwa Yanga Princess Hakuna Mchezaji Mwenye Muendelezo Wa Kufunga Mara Kwa Mara Naam Macho Na Matazamio Yapo Kwa Mchezaji Mgeni Olluwa Yemis Ambaye Ameonekana Kufunga Magoli 2 Katika Michezo Ya Ligi Kuu Isiyozidi Mitatu Tangu Ametua Nchini ...

Fountain Gate Princess 
1. Amina Ramadhan         4 Goals
2. Hasnath Ubamba        4  Goals
3. Jackline Wilbert          2  Goals
Jumla = 10

Fountain Gate Princess Hali Ya Katika Safu Yao Ya Ushambuliaji Msimu Huu Ni Mbaya Zaidi Kwani Hadi Sasa Ni Wachezaji Watatu Tu Wenye Magoli Zaidi Ya Mawili.

Jkt Queens Ndio Timu Iliyofunga Magoli Mengi Zaidi Msimu Huu Hadi Sasa Ikiwa Imeshafunga Magoli 46 Mbele Ya Simba Queens Wenye Magoli 36 Huku Yanga Princess Akifunga Magoli 17


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

Timu inaitwa Mashujaa Lake Tanganyika FC ( Mashujaa FC ) ilianza rasmi kampeni yake ya kupanda Ligi Kuu tarehe 29/9/2018 na imepanda Ligi Kuu 25/06/2023 miaka mitano ya kupambana kwenye Ligi Daraja la kwanza Championship. Timu hii inaendeshwa kwa ushirikiano wa pande mbili kati ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji kwa niaba ya Wananchi wa Kigoma. Muelewe hapa maana wengi wanasema ni timu ya Jeshi asilimia 100% Nembo ya timu ni Sokwe Dume, Shujaa wa Hifadhi za Gombe na Mahale zilizopo mkoani Kigoma. Rangi ya kwanza ya jezi ya timu (first kit) ni hiyo hapo chini na kwenye nembo ya timu ni rangi za tunda la michikichi (mawese ). Hii kama njano ni mawese yaliyoganda na huo wekundu ni mawese ya moto. Ukishika tunda la Mse juu utaona wekundu na ukikata katikati utaona njano. Nyeupe ni ‘nazi’ ya Mse hizi ni alama za utajiri wa Kigoma Jezi nyingine ni blue inayowakilisha Ziwa Tanganyika na Jezi nyingine ni Nyeupe

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

Na Prince Hoza AFISA Habari wa klabu ya Yanga SC Ally Shabani Kamwe alidiriki kuudanganya umma wa wapenzi wa soka hapa nchini kwamba hakuna timu yoyote hapa Tanzania kuwahi kuingia hatua ya nusu fainali ya vilabu Afrika. Kamwe alisema timu yake ya Yanga itakuwa timu ya kwanza nchini kuingia nusu fainali ya Afrika, Yanga ilikuwa inakaribia kabisa kutinga nusu fainali ya kombe la Shirikisho barani Afrika. Yanga ilianza vizuri ikiwa ugenini baada ya kuilaza mabao 2-0 timu ya Rivers United ya Nigeria, hivyo ilikuwa inasubiria mchezo wa marudiano uliofanyika uwanja wa kumbukumbu ya Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Kwa vyovyote Yanga walikuwa na uhakika wa kutinga nusu fainali kwani walihitaji sare yoyote ama ushindi wa aina yoyote. Hapo ndipo Afisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe aliamua kupiga vijembe kwa watani zake Simba SC na kuipotosha jamii kwa kudai kwamba Yanga itakuwa timu ya kwanza Tanzania kuingia nusu fainali ya Afrika. Kamwe ameifuta hadi rekodi ya Simba kuwa timu ya kwanza Tan...

Mabululu ni wa Simba SC

Simba wameweka donge nono kunasa saini ya mshambuliaji Agostinho Cristovan Paciencio Mabululu anayekipiga Al Tripoli ya Libya Ili ajiunge na Wekundu hao wa Msimhazi. Simba wamefanya mazungumzo ya moja kwa moja na wakala wa Mabululu na mchezaji mwenyewe na wako tayari kulipa kiasi cha juu zaidi kunasa saini ya mshambuliaji huyo hatari zaidi Simba wanahitaji kumalizana na mshambuliaji huyo badala ya kumaliza fainali ya kombe la Shirikisho, tayari Crecentius Magori yuko nyuma ya mpango huo kuhakikisha Simba ijayo inatisha. Mbali na Mabululu, Simba pia inahitaji Saini ya kiungo mshambuliaji wa Azam FC Feisal Salum "Feitoto" ambaye pia amewahi kuichezea Yanga SC