Ayoub Lakred ni moja ya wachezaji wenye furaha zaidi katika kikosi cha @simbasctanzania baada ya ujio wa kocha mpya Abdelhak Benchika . Golikipa huyu mtoa michomo leo ameonekana akifanya mazoezi kwa juhudi kubwa huku akiwa na tabasamu muda wote .....Ni wazi ujio wa Benchika umemfurahisha sana Golikipa huyu . Mwamba ataendelea kulinda lango la Simba wakiwa ugenini dhidi ya Jwaneng Galaxy .....wakati Manula anaendelea kuuguza majeraha yake .
Kwa habari na matangazo tunapatikana Kariakoo jijini Dar es Salaam au piga +255 652 626627 au +255 755 522 216 barua pepe princehoza@gmail.com