Baada ya klabu ya Ihefu FC kuhamia Mkoani Singida rasmi ambapo watakua wakitumia Uwanja wa CCM Liti pale Singida Kwa mujibu wa Ripoti mbalimbali inasemekana kwamba Ihefu ipo kwenye mchakato wa kubadilisha jina lake na kuitwa Singida Leopard FC kuanzia Msimu unaokuja Wakati huo inasemekana kua Klabu ya Mbeya Kwanza FC ipo kwenye mchakato wa kununuliwa na itabadilishwa jina na kuitwa Ihefu FC Wakati huo huo Singida Fountain Gate itabadilishwa jina na kua Fountain Gate Academy na makao yake yatakuwa Mwanza kwenye Uwanja wa Fountain Gate uliopo Gwambina.
Kwa habari na matangazo tunapatikana Kariakoo jijini Dar es Salaam au piga +255 652 626627 au +255 755 522 216 barua pepe princehoza@gmail.com