CR BELOUIZDAD WAKIFANYA MAZOEZI YAO UWANJA WA MKAPA tarehe Februari 23, 2024 Pata kiungo Facebook X Pinterest Barua pepe Programu Nyingine Kikosi cha CR Belouzidad kimefanya mazoezi yake ya mwisho kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jioni ya leo kabla ya kuwavaa Yanga SC hapo kesho.