Mshambuliaji mpya wa timu ya Pyramids ya Misri amefunga mabao matatu peke yake hat trick katika mchezo wa kirafiki ambapo Pyramids i iliifunga mabao 7-0 Varsak ya Uturuki. Mabao mengine ya Pyramids yaliwekwa kimiani na Abdallah El Said, Mohamed Redaa na Ibrahim Adel
Kwa habari na matangazo tunapatikana Kariakoo jijini Dar es Salaam au piga +255 652 626627 au +255 755 522 216 barua pepe princehoza@gmail.com