Na Ikram Khamees
Licha ya kupata ushindi wa mabao 2-0 JKU imeondolewa katika michuano ya kombe la Shirikisho barani Afrika hasa baada ya kufungwa kwa jumla ya mabao 4-3 na timu ya Singida Fountain Gate.
Kwa habari na matangazo tunapatikana Kariakoo jijini Dar es Salaam au piga +255 652 626627 au +255 755 522 216 barua pepe princehoza@gmail.com