Simba SC leo wametembelea Shule ya Msingi Sinza Maalum na kutoa msaada wa mahitaji mbalimbali ya kibinaadamu kama ambavyo tunafanya kila mwaka. Kila inapofika wiki ya Simba mpaka kufika kilele chake cha Simba Day huwa tunakuwa na matukio mbalimbali ya kurejesha kwa jamii.
Kwa habari na matangazo tunapatikana Kariakoo jijini Dar es Salaam au piga +255 652 626627 au +255 755 522 216 barua pepe princehoza@gmail.com