JEZI YA SPIKA WA BUNGE YAUZWA MIL 2.5

Jezi Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Tulia Akson imeuzwa kwa Sh. 2,500,000 kwa Tawi la Simba Makini katika Mnada unaoendelea katika Ofisi za Azam TV.