Nabi ahusishwa na Singida Black Stars
Kocha wa zamani wa Yanga SC na Far Rabat ya Morocco, Nassredine Nabi huenda akajiunga na klabu ya Singida Black Stars kwaajili ya kuinoa klabu hiyo kwenye michuano ya CAF Confederation Cup na NBCPL
Tetesi hizo zinakuja siku chache baDa ya kocha Nabi kuvunja mkataba na Raja Casablanca ya Morocco kwa makubaliano ya pande zote mbili
Kinachochelewesha dili hilo mpaka sasa ni masuala ya kifedha ambayo bado wapo kwenye mazungumzo ikiwa kama wataelewana basi tutegemee kumuona Nabi ndani ya NBCPL.
