Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Juni, 2026

Yanga wanamrudisha tena Aziz Ki

Picha
Klabu ya Young Africans SC imetuma ofa rasmi ya USD 350K (Tshs Milioni 920) kwenda Al Ittihad SC ya Libya ili kupata saini na huduma ya kiungo mshambuliaji Stephane Aziz Ki (30). KI Aziz amekubali kuitumikia Young Africans SC kwa mara nyingine tena baada ya kuondoka klabuni hapo na kujiunga na Wydad AC na baadae kusajiliwa na Al Ittihad SC ya Libya na klabu ya Young Africans inapambania hili ili kupata saini yake kwa wakati.