Kocha wa zamani KenGold kumrithi Muya, Coastal Union

Kocha wa zamani wa Ken Gold,Fikiri Elias yupo mbioni kujiunga na Coastal Union ili kuchukua nafasi ya Mohamed Muya aliyeondoka klabuni hapo siku za hivi karibuni

Fikiri Elias sio mgeni viunga vya Tanga na maeneo yake,aliwahi kuifundisha Coastal miaka ya 2023 hivyo anerejea tena kwa mara ya pili ili kuwapa ubora zaidi kwenye Ligi Kuu bara.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI