Tchakei arejea mzigoni Singida BS
Kiungo wa Klabuya Singida Black Stars, Marouf Tchakei amejiunga na kikosi baada ya majeraha ya Muda Mrefu .
Tchakei alikosekana kwa muda mrefu hasa baada ya kurejea kwenye kikosi hicho baada ya kuachwa na Yanga SC na baadaye kutumia.
Kiungo huyo mahiri na fundi wa mpira atakuwepo katika mchezo wao dhidi ya KMC FC unaotazamiwa kuchezwa kesho



