Eng Hersi aula BAKITA

Bodi ya Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA) imemteua Rais wa Yanga SC, Mhandisi Hersi Said kuwa Balozi wa Kiswahili kutokana na uwezo, ushawishi na ushiriki wake kwenye masuala ya kijamii, hususan upande wa michezo.

Mhandisi Hersi atakuwa balozi wa tatu wa BAKITA, ambapo wengine ni Mbunge wa Mchinga, Salma Kikwete na Joram Nkumbi.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons