Walter Bwalya naye atimkia Libya

Mshambuliaji wa kimataifa wa DR Congo Walter Bwalya, amejiunga na klabu ya Al-Qadisiyah Bani Walid ya Libya kama mchezaji huru.

Mshambuliaji huyo wa zamani wa Nkana pamoja na Al Ahly SC anamerejea Afrika Kaskazini baada ya kuwa na kipindi kifupi katika klabu ya Cape Town City FC ya Afrika Kusini .


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons