Mohamed Doumbia asajiliwa Marumo Gallants


Mohamed Doumbia ameondoka Yanga na kujiunga na Marumo Gallants,ya South Africa kwa mkopo.
[1/28, 6:13 PM] Bro Big: Mohamed Doumbia, kiungo wa kati wa taifa la Ivory Coast, ameondoka Yanga SC ya Tanzania na kujiunga na klabu ya Marumo Gallants ya Afrika Kusini kwa mkopo wa msimu mzima.

Doumbia amekuwa na changamoto ya kupata dakika za kutosha kucheza Yanga kutokana na ushindani mkali katika safu ya kiungo. Mkopo huu unampa nafasi ya kupata dakika nyingi za kucheza na kuboresha kiwango chake.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons