Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Huyu ndiye Ally Awadh mmiliki wa LAKE OIL


𝖠𝖫𝖫𝖸 𝖠𝖶𝖠𝖣𝖧 𝗇𝗂 𝗆𝖿𝖺𝗇𝗒𝖺𝖻𝗂𝖺𝗌𝗁𝖺𝗋𝖺 𝗇𝖺 𝖻𝗂𝗅𝗂𝗈𝗇𝖾𝖺 𝗆𝗍𝖺𝗇𝗓𝖺𝗇𝗂𝖺 𝗇𝖺 𝗆𝗆𝗂𝗅𝗂𝗄𝗂 𝗐𝖺 𝖫𝖠𝖪𝖤 𝖦𝖱𝖮𝖴𝖯 𝗆𝗐𝖾𝗇𝗒𝖾 𝖺𝗌𝗂𝗅𝗂 𝗒𝖺 𝗄𝗂𝖺𝗋𝖺𝖻𝗎 𝖺𝗆𝖻𝖺𝗒𝖾 𝖺𝗅𝗂𝗓𝖺𝗅𝗂𝗐𝖺 𝗆𝗐𝖺𝗄𝖺 1980.

𝖠𝖫𝖫𝖸 𝖠𝖶𝖠𝖣𝖧 𝖺𝗆𝖾𝗓𝖺𝗅𝗂𝗐𝖺 𝗄𝖺𝗍𝗂𝗄𝖺 𝖥𝖺𝗆𝗂𝗅𝗂𝖺 𝗒𝖺 𝗆𝗓𝖾𝖾 𝖤𝖽𝗁𝖺 𝖠𝗐𝖺𝖽𝗁 𝖺𝗆𝖻𝖺𝗒𝖾 𝗇𝗂 𝗆𝗐𝖺𝗇𝗓𝗂𝗅𝗂𝗌𝗁𝗂 𝗇𝖺 𝗄𝗂𝗈𝗇𝗀𝗈𝗓𝗂 𝗐𝖺 𝖠𝖹𝖠𝖭𝖨𝖠 𝖦𝖱𝖮𝖴𝖯,𝖺𝗆𝖻𝖺𝗒𝗈 𝗂𝗇𝖺 𝗁𝗎𝗌𝗂𝗄𝖺 𝗇𝖺 𝖠𝗓𝖺𝗇𝗂𝖺 𝖡𝖺𝗇𝗄, 𝖪𝗂𝗐𝖺𝗇𝖽𝖺 𝖼𝗁𝖺 𝖠𝗓𝖺𝗇𝗂𝖺 𝗄𝗂𝗇𝖺𝖼𝗁𝗈𝗍𝖾𝗇𝗀𝖾𝗇𝖾𝗓𝖺 𝖴𝗇𝗀𝖺 𝗐𝖺 𝗇𝗀𝖺𝗇𝗈 𝗇𝖺 𝖻𝗂𝖽𝗁𝖺𝖺 𝗄𝖺𝖽𝗁𝖺 𝗐𝖺 𝗄𝖺𝖽𝗁𝖺.

𝖬𝗓𝖾𝖾 𝖤𝖣𝖧𝖠 𝖺𝗅𝗂𝗐𝖺𝗋𝗂𝗍𝗁𝗂𝗌𝗁𝖺 𝗐𝖺𝗍𝗈𝗍𝗈 𝖺𝗐𝖺𝗄𝖾 𝗆𝖺𝗅𝗂 𝗆𝖺𝗉𝖾𝗆𝖺 𝗂𝗅𝗂 𝗐𝖺𝖾𝗇𝖽𝖾𝗅𝖾 𝗄𝗎𝗄𝗎𝗓𝖺 𝖻𝗂𝖺𝗌𝗁𝖺𝗋𝖺 𝖺𝗆𝖻𝖺𝗉𝗈 𝖠𝖧𝖬𝖤𝖣 𝖤𝖣𝖧𝖠 𝖠𝖶𝖠𝖣𝖧 𝗆𝖽𝗈𝗀𝗈 𝗐𝖺 𝖠𝖫𝖫𝖸 𝖤𝖣𝖧𝖠 𝖠𝖶𝖠𝖣𝖧 𝗇𝗂 𝖬𝗄𝗎𝗋𝗎𝗀𝖾𝗇𝗓𝗂 𝗐𝖺 𝖠𝖹𝖠𝖭𝖨𝖠 𝖡𝖠𝖭𝖪.

𝖠𝖫𝖫𝖸 𝖠𝖶𝖠𝖣𝖧 𝖻𝖺𝖺𝖽𝖺 𝗒𝖺 𝗄𝗎𝗆𝖺𝗅𝗂𝗓𝖺 𝗆𝖺𝗌𝗈𝗆𝗈 𝗒𝖺𝗄𝖾 𝗒𝖺 𝗌𝖾𝗄𝗈𝗇𝖽𝖺𝗋𝗂( 𝖮𝗅𝖾𝗏𝖾𝗅) 𝖺𝗅𝗂𝗃𝗂𝗎𝗇𝗀𝖺 𝗌𝗁𝗎𝗅𝖾 𝗒𝖺 𝖳𝖺𝗇𝗀𝖺𝗇𝗒𝗂𝗄𝖺 𝖨𝗇𝗍𝖾𝗋𝗇𝖺𝗍𝗂𝗈𝗇𝖺𝗅 𝖲𝖼𝗁𝗈𝗈𝗅(ℎ𝑖𝑖 𝑛𝑑𝑖𝑜 𝑦 𝑠ℎ𝑢𝑙𝑒 𝑦𝑎 𝑘𝑤𝑎𝑛𝑧𝑎 𝑦𝑒𝑛𝑦𝑒 𝑎𝑑𝑎 𝑘𝑢𝑏𝑤𝑎 𝑇𝑎𝑛𝑧𝑎𝑛𝑖𝑎). 𝗇𝖺 𝖻𝖺𝖺𝖽𝖺𝖾 𝖡𝗋𝗈𝖼𝗄 𝖴𝗇𝗂𝗏𝖾𝗋𝗌𝗂𝗍𝗒,𝖢𝖺𝗇𝖺𝖽𝖺 𝖺𝗄𝗂𝖼𝗁𝗎𝗄𝗎𝖺 𝖽𝖾𝗀𝗋𝖾𝖾 𝗒𝖺 𝖡𝗎𝗌𝗂𝗇𝖾𝗌𝗌 𝖺𝖽𝗆𝗇𝗂𝗌𝗍𝗋𝖺𝗍𝗂𝗈𝗇.

𝖡𝖺𝖺𝖽𝖺 𝗒𝖺 𝗄𝗎𝗆𝖺𝗅𝗂𝗓𝖺 𝗆𝖺𝗌𝗈𝗆𝗈 𝗒𝖺𝗄𝖾 𝖺𝗅𝗂𝖿𝖺𝗇𝗒𝖺 𝗄𝖺𝗓𝗂 𝗄𝖺𝗍𝗂𝗄𝖺 𝖬𝗀𝖺𝗁𝖺𝗐𝖺 𝗐𝖺 𝖬𝖢𝖣𝖮𝖭𝖠𝖫𝖣'𝗌 𝖺𝗆𝖻𝖺𝗒𝗈 𝗇𝗂 𝗆𝗂𝗀𝖺𝗁𝖺𝗐𝖺 𝗆𝖺𝖺𝗋𝗎𝖿𝗎 𝖽𝗎𝗇𝗂𝖺𝗇𝗂 𝖺𝗆𝖻𝖺𝗉𝗈 𝖺𝗅𝗂𝗉𝖺𝗍𝖺 𝗎𝗓𝗈𝖾𝖿𝗎 𝗆𝗄𝗎𝖻𝗐𝖺 𝗐𝖺 𝗄𝗎𝗌𝗂𝗆𝖺𝗆𝗂𝖺 𝖻𝗂𝖺𝗌𝗁𝖺𝗋𝖺.

2006,𝖠𝖫𝖫𝖸 𝖠𝖶𝖠𝖣𝖧 𝖺𝗅𝗂𝖿𝗎𝗇𝗀𝗎𝖺 𝗄𝖺𝗆𝗉𝗎𝗇𝗂 𝗒𝖺 𝖫𝖠𝖪𝖤 𝖦𝖱𝖮𝖴𝖯 𝖺𝗄𝗂𝗐𝖺 𝗇𝖺 𝗎𝗆𝗋𝗂 𝗐𝖺 𝗆𝗂𝖺𝗄𝖺 26 𝗍𝗎,,𝗄𝖺𝗆𝗉𝗎𝗇𝗂 𝗂𝗄𝗂𝗃𝗂𝗁𝗎𝗌𝗂𝗌𝗁𝖺 𝗇𝖺 𝖴𝗎𝗓𝖺𝗃𝗂 𝗐𝖺 𝗆𝖺𝖿𝗎𝗍𝖺 𝗇𝖺 𝗏𝗂𝗅𝖺𝗂𝗇𝗂𝗌𝗁𝗂 𝗏𝗒𝖺 𝗄𝗐𝖾𝗇𝗒𝖾 𝗆𝖺𝗀𝖺𝗋𝗂.

𝖫𝖠𝖪𝖤 𝖦𝖱𝖮𝖴𝖯 𝗂𝗅𝗂𝗉𝖺𝗇𝗎𝗄𝖺 𝗓𝖺𝗂𝖽𝗂 𝗇𝖺 𝗄𝗎𝖺𝗇𝗓𝖺 𝗄𝗎𝗎𝗓𝖺 𝗇𝗈𝗇𝖽𝗈,𝗆𝖺𝖻𝖺𝗍𝗂 𝗆𝖺𝗀𝗎𝗆𝗎 𝗇𝖺 𝗀𝖾𝗌𝗂.

𝖵𝗂𝗍𝗎𝗈 𝗏𝗒𝖺𝗄𝖾 𝗏𝗒𝖺 𝗆𝖺𝖿𝗎𝗍𝖺 𝗏𝗒𝖺 𝖫𝖺𝗄𝖾 𝗈𝗂𝗅 𝗏𝗂𝗅𝗂𝖼𝗁𝗈𝗆𝗐𝖺 𝗇𝖺 𝗐𝖺𝖺𝗇𝖽𝖺𝗆𝖺𝗇𝖺𝗃𝗂 𝗐𝖺 𝗈𝖼𝗍𝗈𝖻𝖾𝗋 29.

Ally Awadh

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

Timu inaitwa Mashujaa Lake Tanganyika FC ( Mashujaa FC ) ilianza rasmi kampeni yake ya kupanda Ligi Kuu tarehe 29/9/2018 na imepanda Ligi Kuu 25/06/2023 miaka mitano ya kupambana kwenye Ligi Daraja la kwanza Championship. Timu hii inaendeshwa kwa ushirikiano wa pande mbili kati ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji kwa niaba ya Wananchi wa Kigoma. Muelewe hapa maana wengi wanasema ni timu ya Jeshi asilimia 100% Nembo ya timu ni Sokwe Dume, Shujaa wa Hifadhi za Gombe na Mahale zilizopo mkoani Kigoma. Rangi ya kwanza ya jezi ya timu (first kit) ni hiyo hapo chini na kwenye nembo ya timu ni rangi za tunda la michikichi (mawese ). Hii kama njano ni mawese yaliyoganda na huo wekundu ni mawese ya moto. Ukishika tunda la Mse juu utaona wekundu na ukikata katikati utaona njano. Nyeupe ni ‘nazi’ ya Mse hizi ni alama za utajiri wa Kigoma Jezi nyingine ni blue inayowakilisha Ziwa Tanganyika na Jezi nyingine ni Nyeupe

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limetoa orodha ya viwango vya ubora wa klabu barani, Simba ikiendelea kuwa juu ya klabu nyingine za Tanzania, nafasi ya tano. Orodha hiyo imetoka leo kuelekea droo ya hatua za awali za michuano ya klabu Afrika ambayo kwa mara ya kwanza kihistoria itafanyika nchini katika studio za Azam Tv, Tabata Jijini Dar es Salaam. Yanga ambayo kama Simba itashiriki Ligi ya Mabingwa — yenyewe inashika nafasi ya 12, wakati timu nyingine katika orodha hiyo ni Namungo FC wanaoshika nafasi ya mwisho, ya 75 kwa pamoja na Salitas FC ya Burkina Faso, Ahli Benghazi ya Libya na NAPSA Stars ya Zambia. Kwa msimu ujao mbali na Simba na Yanga kushiriki Ligi ya Mabingwa, Azam FC na Singida Black Stars zitashiriki michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika.

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

Na Prince Hoza AFISA Habari wa klabu ya Yanga SC Ally Shabani Kamwe alidiriki kuudanganya umma wa wapenzi wa soka hapa nchini kwamba hakuna timu yoyote hapa Tanzania kuwahi kuingia hatua ya nusu fainali ya vilabu Afrika. Kamwe alisema timu yake ya Yanga itakuwa timu ya kwanza nchini kuingia nusu fainali ya Afrika, Yanga ilikuwa inakaribia kabisa kutinga nusu fainali ya kombe la Shirikisho barani Afrika. Yanga ilianza vizuri ikiwa ugenini baada ya kuilaza mabao 2-0 timu ya Rivers United ya Nigeria, hivyo ilikuwa inasubiria mchezo wa marudiano uliofanyika uwanja wa kumbukumbu ya Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Kwa vyovyote Yanga walikuwa na uhakika wa kutinga nusu fainali kwani walihitaji sare yoyote ama ushindi wa aina yoyote. Hapo ndipo Afisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe aliamua kupiga vijembe kwa watani zake Simba SC na kuipotosha jamii kwa kudai kwamba Yanga itakuwa timu ya kwanza Tanzania kuingia nusu fainali ya Afrika. Kamwe ameifuta hadi rekodi ya Simba kuwa timu ya kwanza Tan...