Emam Ashour aomba radhi


Mchezaji wa Al Ahly Emam Ashour ameomba radhi kwa klabu ya Al Ahly kupitia kwa Meneja wa timu Walid Salah Eldin na kusema hakukusudia kukwazana na mtu yoyote na anaomba radhi akiomba arudishwe kikosini.

Bado klabu haijatoa msimamo wake rasmi na wanasubiri kumaliza mechi ya Yanga kwanza ndio watakaa naye chini kuamua cha kufanya.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons