Al Ahly yaipa unafuu Yanga

Al Ahly imemsimamisha kiungo wao Emam Ashour kwa muda wa wiki mbili na imemtoza faini ya EGP 1.5 m (TshsMilioni82) kwa kushindwa kusafiri na timu leo kuja Tanzania kwaajili ya kuwakabili Yanga.

Emam atafanya mazoezi peke yake katika kipindi chote cha kifungo.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons