Simba kumtoa kwa mkopo Mohamed Bajaber

Mohammed Bajaber hatokuwa sehemu ya kikosi cha Simba ikifika mwaka 2026.

Dirisha la Januari Bajaber atatolewa kwa mkopo na mpaka sasa kuna mvutano.

Bajaber anataka kurejea Polisi Kenya  huku Simba wanataka kumpeleka JKT Tanzania kama ilivyokuwa kwa Salehe Karabaka! 


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI