Karim Kimvuidi kusalia Orlando Pirates


Taarifa za kuaminika ni kuwa winga wa Orlando Pirates, Karim Kimvuidi hataondoka klabuni hapo baada ya msimu wa PSL kumalizika

Winga Kimvuidi ataendelea kupambania namba katika kikosi cha Orlando Pirates na ni jambo ambalo imekuwa changamoto kubwa kwake.

Meneja wa Karim Kimvuidi alikuwa akimsisitizia mteja wake ashinikize kuondoka licha ya Kimvuidi bado ana mkataba na Orlando Pirates lakini viongozi wa Orlando Pirates wamemshauli winga huyo abaki na amekubali kupambania namba

Karim Kimvuidi anahusishwa kuhitajika na klabu ya Simba SC ikiwa Karim Kimvuidi atamalizana na Orlando Pirates katika dirisha kubwa lijalo la uhamisho.



Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons