Simba yanunua basi jipya la kisasa, lina choo ndani

Kupitia ukurasa rasmi wa Simba SC Tanzania wameweka picha ya Basi jipya la klabu hiyo likiwa halina nembo yoyote ya mdhamini wa Klabu.

Kwa mbele likiwa na maandishi ya "SIMBA SC" ,na katika plate number ikiandikwa "16 APRIL 2025".

Kumbuka mdhamini mkuu ambaye ni kampuni ya kubashiri ya M-BET hatokuwa na Simba SC kuelekea msimu ujao hivyo huenda Kuna dili kubwa Mnyama anasaini na Moja ya kampuni kubwa zaidi.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI