Moussa Camara atimkia Guinea na majeruhi yake

Golikipa namba moja wa mnyama Simba SC, Moussa Pinpin ameondoka alfajiri ya leo kulekea nchini Ivory Coast kwaajili ya kujiunga na kambi ya timu ya taifa ya Guinea kuelekea mechi za kufuzu Kombe la Dunia

Simba iliwaomba Guinea kumuacha Camara Dar es salaam ili apate muda wa matibabu zaidi lakini Guinea wamesema watamfanyia Vipimo na kumtibia ili kuona kama wataweza kumtumia.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons