Twiga Stars yaitupa nje Equatorial Guinea


Timu ya Taifa ya wanawake Twiga Stars imeitoa timu ya Taifa ya Equatorial Guinea kwa jumla ya mabao 4-2, baada ya leo kufungana mabao 1-1 mchezo wa kufuzu fainali za wanawake WAFCOM 2026.

Goli la Twiga Stars limefungwa na Enekia Kasonga.

Twiga Stars watakutana na Ethiopia katika hatua inayofuata ya kufuzu kwa WAFCON 2026.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons