Kimanzi apewa mkono wa kwaheri Tabora United

Klabu ya Soka ya Tabora United,inayoshiriki ligi kuu ya NBCPL imetangaza kuachana na aliyekuwa Kocha wao mkuu, Francis Kimanzi pamoja na aliyekuwa msaidizi wake Yusuph Chipo.

Kwa mujibu wa taarifa ya klabu hiyo, uamuzi huo umechukuliwa kutokana na mwenendo usioridhisha wa klabu hiyo tangu kuanza kwa msimu huu wa 2024/24.
Francis kimanzi aliisaidia Mathare United kurejea katika ligi kuu ya FKFPL na baadaye kuhamia Tabora United katika msimu wa 2024-2025


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons