OPAH CLEMENT AZIDI KUNG' ARA BESIKTAS
Nyota wa Besiktas Opah clement jana alifunga mabao mawili katika ushindi wa Goal 5-0 Dhidi ya Ataşehir Belediye Spor mchezo wa ligi kuu wanawake Nchini Uturuki.
Opah alikuwa anaichezea timu ya Simba Queens ya Tanzania pia timu ya taifa ya Tanzania, Twiga Stars
