ZOUZOUA PACOME KIFAA KIPYA YANGA
Wananchi huyu hapa ndio namba 6 wenu Zouzoua Pacome kutoka Asec Mimosas .
Pacome ndiye mchezaji bora wa Asec Mimosas wa msimu uliomalizika akiwashinda Kwame Kramo wa Simba , Mohammed Zoungrana na YAOU Kouas Attohoula ambaye amejiunga na Wananchi tayari.
