BRUNO GOMEZ AFUNGA NDOA BRAZIL

Kiungo wa Singida Fountain Gate FC Mbrazil Bruno Gomes Barroso amefunga ndoa na mpenzi wake,Nathalia Barroso huko kwao nchini Brazil.

Gomez aliongeza mkataba mpya na timu hiyo wa miaka miwili ikiwa pia alikuwa akihusishwa kujiunga na mabingwa wa zamani Simba SC lakini dili hilo likafeli


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI