MARUMO GALLANTS YASHIKWA HUKO SAUZI
Wapinzani wa Yanga katika hatua ya nusu fainali ya kombe la Shirikisho Afrika, Marumo Gallants wamechomoa goli dakika ya 90 na kulazimisha sare ugenini dhidi ya Maritzburg United kwenye Ligi Kuu Afrika Kusini
MUFC 2️⃣ - 2️⃣ Gallants
