YANGA YAKARIBIA KUMNYAKUA CHIVAVIRO WA MARUMO
MABINGWA wa soka Tanzania bara
Young Africans Sports Club ipo kwenye hatua za mwisho kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa Marumo Gallants ya Afrika Kusini, Ranga Chivaviro (30) ambaye mpaka sasa amefunga magoli 17 kwenye mashindano yote.
Azam FC pia jmetuma ofa rasmi lakini Yanga ndio wapo karibu kumpata mshambuliaji huyo ambaye tayari timu yake ya Marumo imeshuka daraja.
