Kuziona Marumo na Yanga ni bure
Marumo Gallants ya Afrika Kusini imetangaza hakutakuwa na kiingilio katika mechi ya marudiano nusu fainali Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Yanga Jumatano ijayo Mei 17 katika Uwanja wa Royal Bafokeng.
Marumo ilifungwa mabao 2-0 na Yanga jana Mei 10 katika Uwanja wa Mkapa, Dar.
