Dickson Job azushiww kuondoka Yanga kisa Baka

Baada ya kuwepo kwa tetesi kuwa Beki wa Yanga Sc, Dickson Job anahusishwa kutimkia katika vilabu mbalimbali vya ligi Kuu ikiwemo Simba Sc, Wasafi Media imemtafuta meneja wa mchezaji huyo, George Job ili kutolea ufafanuzi juu ya mkabata wa mchezaji huyo na Klabu yake ya sasa.

“Mkataba wa Job unaisha mwisho wa msimu huu, na hatujasaini mkataba wowote hadi sasa, hatuna haraka na mkataba mpya kwa sasa tunatumikia mkataba wetu,” George Job.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons