Afisa habari wa klabu ya Azam Fc Zakharia Zaka zakazi amesema “ Kama Feisal Salum Feitoto mwenyewe atazungumza kuwa hayupo tayri kuendelea na sisi hatuna shida tutamuacha afuate Mkataba unavyosema huku na sisi tukiendelea na mipango mengine….
Lakini hatuwezi kuja hadharani na kuwaambia yeye Mwenyewe Mchezaji atawaambia nini cha kufanya ili aweze kuununua Mkataba wake .