Klabu ya Young Africans imempa taarifa Mshambuliaji Kennedy Musonda (30) kuwa haitaendelea nae baada ya msimu huu kumalizika na mchezaji amepokea taarifa hiyo
Menejimenti ya Kennedy Musonda inafanya mazungumzo na Al Ittihad ya Libya na Power Dynamos ili ajiunge nayo, Menejimenti ya mchezaji huyo inamtafutia klabu mojawapo katika klabu hizi mbili
Mchakato wa kumtafutia timu Kennedy Musonda unaendelea kwa Menejimenti ya Kennedy Musonda baada ya kumalizana na Young Africans kwa kila kitu.