Timu ya Tabora United ya mkoani Tabora imeutumia vema uwanja wake wa Ali Hassan Mwinyi baada ya kuifunga Dodoma Jiji bao 1-0 mchezo wa Ligi Kuu bara.
Goli lililowapa ushindi Tabora United limefungwa na Offen Chikola.
Kwa habari na matangazo tunapatikana Kariakoo jijini Dar es Salaam au piga +255 652 626627 au +255 755 522 216 barua pepe princehoza@gmail.com