Wenyeji Singida Black Stars leo imeendeleza wimbi la ushindi baada ya kuichabanga Mashujaa FC mabao 3-0.
Goli la Rupia limenifanya afikishe mabao 9 na kuendeleza harakati zake za kuibuka mfungaji bora
Kwa habari na matangazo tunapatikana Kariakoo jijini Dar es Salaam au piga +255 652 626627 au +255 755 522 216 barua pepe princehoza@gmail.com