Yona Amos kinara wa Cleansheets, saves Ligi Kuu bara
Yona Amos Mwakijojo golikipa wa Pamba Jiji FC ya Mwanza hajaruhusu bao katika mechi tatu za Ligi Kuu bara mpaka sasa
Kipa huyo amechukua tuzo za Man Of the Match mara mbili.
Kipa huyo anayeongoza kwa Saves ✅
Anaongoza kwa Cleansheet 3 katika mechi 3 ✅
Yona Amos alimaliza na Cleansheet 9 msimu uliopita akiwa Tanzania Prisons