Singida Black Stars haikamatiki Ligi Kuu bara
Goli pekee lililofungwa na Kiungo Mshambuliaji Emmanuel Keyekeh dakika Kwanza limetosha kuwawezesha Singida Black Star kuondoka na alama zote 3 baada ya kushinda 1-0 kwenye uwanja wa CCM Kirumba dhidi ya wenyeji Pamba Jiji.
Ushindi unaowafanya waendelee kubakia kileleni mwa msimamo wa NBC Primier League ikifikisha pointi 12 na ikidhihirisha kwamba wanautaka ubingwa wa Tanzania bara