Simba Queens wajazwa mil 10 ya goli la mama
Mh Gerson Msigwa Katibu Mkuu Wizara ya Sanaa Utamaduni na Michezo leo amekabidhi kiasi cha Tshs milioni 10 kwa Simba Queens kwa ajili ya GoliLaMama inayotolewa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kama motisha baada ya kushiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Ukanda wa CECAFA.