Obby Alpha hajawahi kufanya tendo la ndoa
Mwanamuziki wa nyimbo za Gospel Obby Alpha ameweka bayana kuwa hajawahi kushiriki tendo la ndoa toka alipoamua kuokoko hadi leo.
"Sijakutana kimwili na Mwanamke tangu nimeokoka nina hofu sana wa kufanya jambo Ilo kabla sijafunga ndoa"- Obby Alpha.