Ndoto za kila mchezaji wa Kitanzania ni kucheza Yanga, Simba- Aziz Andambwile
Kiungo wa Young Africans SC Azizi Andambwile amesema kuwa ndoto ya kila mchezaji wa kitanzania kucheza katika timu kubwa za Young Africans SC na Simba SC kwaajili ya kuchukua makombe.
“Ukicheza timu ndogo huwezi kuchukua makombe lakini ukicheza kama Yanga SC unaweza kubeba makombe na ukawa mchezaji mkubwa”